Category: Uncategorized

Serikali imesema kuwa inatoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na ushuru wa forodha kwenye vifaa vilivyotengenezwa mahsusi kwa ajili ya Watu Wenye Mahitaji Maalum.

Serikali imesema kuwa inatoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na ushuru wa forodha kwenye vifaa vilivyotengenezwa mahsusi kwa ajili ya Watu Wenye Mahitaji Maalum. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Mhe. Grace [...]

Wakili Amendesi mwenyekiti wa tume huru ya uchakuguzi 2021 akikabidhi taarifa ya uchaguzi kwa kamati tendaji ya chama cha wasioona Tanzania ikiongozwa na Mh. Omary Mpondelwa Mwenyekiti wa TLB leo tarehe 18 Decemba 2022 mjini Singida.

Wakili Amendesi mwenyekiti wa tume huru ya uchakuguzi 2021 akikabidhi taarifa ya uchaguzi kwa kamati tendaji ya chama cha wasioona Tanzania ikiongozwa na Mh. Omary Mpondelwa Mwenyekiti wa TLB leo tarehe 18 Decemba 2022 mjini Singida.