-
TLB yaendesha mafunzo ya Braille kwa walimu wataalamu na wasioona . Mafunzo haya yanafanyika kwa muda wa siku mbili Jijini Dar es Salaam kuanzia Sept 7 na 8 2023 katika Hotel ya Kagame. Mafunzo yanaendeshwa na wakufunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Taasisi ya Elimu Tanzania. Washiriki wanatoka shule ya sekondari Lugoba Mkoani Pwani na shule za msingi za. Mwenge, Uhuru Mchanganyiko na Toangoma za Mkoa wa Dar es Salaam.
-
TLB in collaboration with TAS and ZANAB conducted a joint advocacy meeting with members of parliament for social committee to influence key amendments in the disability act to propote inclusive education, free health care, employment, administration and service delivry. The meeting was held on June 23rd 2023 at Rafiki Hotel in Dodoma.
-
Kikao cha uzinduzi wa mradi wa Elimu Jumuishi wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma kinafanyika leo June 5 Katika ukumbi wa Halmashauri chini ya usimamizi wa Afisa Elimu Maalum na Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya. Sambamba na zoezi hilo wajumbe kutoka TLB Mkoa na Wilaya watapatiwa mafunzo ya uongozi wa fedha na miradi ili kuongeza ufanisi. Mafunzo hayo yanatolewa na TLB Makao Makuu chini ya ufadhili wa Myright Sweden na SRF.